Search

65 results for Jafari Juma :

  1. Njia za kutambua muundo wa injini ya gari lako

    Injini ni mashine muhimu kati­ka gari ambayo hubadili nishati kuwa mwendo unaotumiwa kwa kazi mbalimbali.

  2. Kuna uhusiano kati ya CC, matumizi ya mafuta

    Mafuta ni kimiminika muhimu kuliko vitu vyote katika gari. Ili gari liweze kufanya shughuli zake zilizoku­sudiwa ni lazima liwe na mafuta, ingawa siku hizo yapo yanayotumia gesi na umeme.

  3. Unafahamu muda sahihi wa kubadilisha oili ya gari?

    Kwa kawaida gari haliwezi kutembea bila oili. Oili inawezesha injini kufanya kazi vizuri bila kujali ni changamoto gani zinatokea ndani ya chombo hicho.

  4. Namna bora ya kurekebisha taa za mbele za gari lako

    Taa ni moja kati ya vifaa muhimu kwenye gari kwa sababu husaidia kutoa mwanga. Vifaa hivi hutumika wakati wa giza au kikwazo cho­chote kinachosababisha kukoseka­na kwa mwanga, kama vile ukungu wa...

  5. Maswali kadhaa kuhusu matumizi ya gari na majibu yake

    Yapo mambo ambayo labda ushawahi kuyasikia kuhusu magari lakini ukashindwa kupata majibu. Katika makala haya kuna maswali muhimu kuhusu matumizi ya magari na majibu yake.

  6. Ukiona dalili hizi tambua injini ya gari lako ina shida

    Ukisikia mlio wa knock unatoka ndani ya boneti basi ujue injini inakaribia kufa.

  7. Kiini watoto kujitoa uhai mwaka 2023 hiki hapa, wadau wanena

    Wakati kukiwa na matukio ya watoto kujitoa uhai, imeelezwa kuwa visa vingi huwa haviripotiwi kwa kina kuhusu mfumo wa maisha aliyokuwa akiishi mtoto husika.

  8. Mtoto ajinyonga kwa chandarua, matukio yashika kasi

    Zimwi la watoto kujikatisha uhai kwa kujinyonga limeendelea kutikisa mwaka 2023 na kuleta taharuki. Miongoni mwa matukio hayo ni la hivi karibuni lililotokea wilayani Temeke.

  9. Mwenge watua Mbeya, kupitia miradi ya Sh36.4 bilioni

    Jumla ya miradi 45 yenye thamani ya zaidi Sh36.4 bilioni mkoani Mbeya inatarajiwa kukaguliwa, kuzinduliwa na kuwekewa mawe ya msingi na wakati wa mbio za mwenge wa uhuru, zilizoanza leo Septamba...

  10. Mama, wanawe watatu wafariki baada ya nyumba waliyolala kuungua moto

    Watu wanne akiwemo mwanamke mmoja na watoto wake watatu katika kijiji cha Chidede Kata ya Luagala wilayani Tandahimba, wamefariki dunia baada ya nyumba waliyokuwa wakiishi kuungua moto usiku wa...

Page 1 of 7

Next